Nelly Kazikazi - Miss IFM 2017/2018

IFM ni moja kati ya vyuo vinavyosifika kuwa na warembo wengi sana. Nikiwa kama mshindi wa miss ifm 2017/2018 najisikia furaha kubwa kupata taji hili. "Naahidi kuwa balozi mzuri wa chuo changu na kukiwakilisha vizuri chuo changu". Nashukuru uongozi wa serikali ya wanafunzi IFMSO, wanafunzi wenzangu, waandaji wa shindano hili, ndugu, jamaa na marafiki, walimu na uongozi wote wa chuo.

0 comments:

Post a Comment

My Instagram