Nelly Kazikazi atembelea Mikumi Nationa Park
December 02, 2017
Reading
Add Comment
Mikumi ni moja kati ya vivutio vizuri vilivyopo Tanzania. Nawakaribisha wageni wote na wazawa kutembelea katika mbuga hii ya wanyama ambayo ina vivutio vingi ukilinganisha na mbuga nyingine. Ukiwa mikumi unaweza kuona wanyama wengi kwa urahisi kama vile Simba, Tembo, Chui, Twiga, Faru na bila kusahau wale simba wanaoweza kupanda juu ya miti, ambao wanaonekana kirahisi ukiwa mikumi ukilinganisha na Serengeti. Mimi kama balozi wa wanachuo na jamii kwaujumla nina wajibu wa kutangaza vivutio vilivyopo katika nchi yangu.
0 comments:
Post a Comment