Nelly Kazikazi atembelea kituo cha CHAKUWAMA
December 02, 2017
Reading
Add Comment
Nelly kazikazi Miss IFM 2017/2018 na Miss Higher Learning 2017/2018 nimeweza kutimiza ndoto zangu za kutembelea kituo cha kulea watoto wasio na wazazi CHAKUWAMA na kuwapa msaada kidogo wa baadhi ya mahitaji yao muhimu, "sio kama nimefanya kwaajili ya status bali ni kitu ambacho nilikuwa natamani kufanya kwaajili yangu tu Mimi mwenyewe na najisikia vizuri nimefanikiwa kufanya" nashukuru wote walionisupport mpaka kufikia lengo langu.
0 comments:
Post a Comment